Msaada wakuu

Msaada wakuu

muhinason

New Member
Joined
Mar 18, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Ninapo fanya kazi kubwa(nzito) hasa za ujenzi kwa muda wa siku 2 au 3 na kuendelea linapotoka jasho ngozi huchoma choma alaf ukiikamua km unakamua kipele huwa inachoma zaid. Je nn tatizo? Msaada jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom