Ninapo fanya kazi kubwa(nzito) hasa za ujenzi kwa muda wa siku 2 au 3 na kuendelea linapotoka jasho ngozi huchoma choma alaf ukiikamua km unakamua kipele huwa inachoma zaid. Je nn tatizo? Msaada jamani
Ninapo fanya kazi kubwa(nzito) hasa za ujenzi kwa muda wa siku 2 au 3 na kuendelea linapotoka jasho ngozi huchoma choma alaf ukiikamua km unakamua kipele huwa inachoma zaid. Je nn tatizo? Msaada jamani