Phenomenon Lady
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 407
- 245
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada wenu maana sielewi kama hii ni hali ya kawaida au kuna tatizo.
Nina week moja tu ujauzito wangu ufike miezi nane(8),lately nasikia mifupa yote kuanzia kiunoni hadi kwenye maungio ya mapaja,inaniuma sana
Sielewi kama kuna tatizo kwasababu sijawahi jisikia hivi kwa mtoto wangu wa kwanza (huyu ni wa pili)
msaada please
Naomba msaada wenu maana sielewi kama hii ni hali ya kawaida au kuna tatizo.
Nina week moja tu ujauzito wangu ufike miezi nane(8),lately nasikia mifupa yote kuanzia kiunoni hadi kwenye maungio ya mapaja,inaniuma sana
Sielewi kama kuna tatizo kwasababu sijawahi jisikia hivi kwa mtoto wangu wa kwanza (huyu ni wa pili)
msaada please