Msaada: waliochaguliwa ualimu ngazi ya cheti 2014/2015

Msaada: waliochaguliwa ualimu ngazi ya cheti 2014/2015

TULAFUZILWE

Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
31
Reaction score
2
Wakuu naombeni kujua kama majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti 2014/2015 yameshatoka.

Kwa yeyote mwenye tetesi please anijuze.
 
Vyuo vya ualimu vya umma wameitoa hiyo program na badala yake inatolewa name vyuo vya private tu...
 
Wakuu naombeni kujua kama majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu ngazi ya cheti 2014/2015 yameshatoka.kwa yeyote mwenye tetesi please anijuze.


Pole mkuu...

majina yalitoka siku nyingi Sana na kwa sasa hakuna cheti cha ualimu wame update na kuwa diploma ya kawaida so kucheki majina nenda hapa....

The National Council for Technical Education
 
hata wale walio private hawatapata hawatapata ajira . kwani ajira za cheti baada ya miaka miwili hazitakuwepo kama una ndugu yako ni vema kumshauri hayo mafunzo ya cheti ni biashara tu wala sio ya kwenda kwani hakuna ajira za cheti ni kupoteza ela tu
 
Vipi kuhusu wale wanaosoma form five private na wa division four ya 32 ya mwaka jana je'nini hatima yao?
 
nimechaguliwa greenbird ordinary diploma in primary na nina four ya 32 ila nilipiga masomo ya scienc nikakosa pass ya phz na math tu
 
Back
Top Bottom