Msaada wana jf.

Msaada wana jf.

Tanganyika1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
423
Reaction score
90
Ni matumaini yangu kuwa afya zenu ni nzuri na mungu anaendelea kuwabariki. Mimi ni nimemaliza shahada ya biashara na uongozi, (bachelor of buriness administration). Shida yangu ni kupata nafasi ya kujitotlea kwenye taasis au kampuni yoyote inayoendana na masomo yangu ili nijenge uzoefu wa kazi. Kwa yeyote anaye weza kunisaidia naomba ani mp. Natangulliza shukrani zangu.
 
Back
Top Bottom