mamkindi
Member
- Mar 14, 2012
- 61
- 5
Msaada kwenu wana jf. nina tatizo la kupata maumivu kwenye vidole vya miguuni na mikononi na huwa joto linakuwa kali sana hata nikimshika mtu kwa mkono anaona nina joto ambalo siyo kawaida. swali ni kwamba nina upungufu wa damu au tatizo la mishipa ya damu? kwa yeyote anayeweza kunipa majibu sahihi na ushauri maana huwa inanitokea mara kwa mara.