Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we unaonekana ni
mwana ubongo fuleva! Habar zenyu ndio nini sasa? Pia umeandika kama tupo
facebook na wakati unajua kuwa humu ni kwa magreat thinkers, pia hilo
jina lako la Masafanja limekaa kihuni sana,
unatka ukasomee hiyo kozi ili uwe unarekodi bongo movie na video za
ubongo fleva ambazo zinaharibu maadili ya nchi yetu!
Enewei:
Mkuu wangu MSAfanja kuna chuo kipo Bagamoyo
hapo kinahusika na mambo ya kozi unayotaka kusomea.
Mkuu we unaonekana ni mwana ubongo fuleva! Habar zenyu ndio nini sasa? Pia umeandika kama tupo facebook na wakati unajua kuwa humu ni kwa magreat thinkers, pia hilo jina lako la Masafanja limekaa kihuni sana, unatka ukasomee hiyo kozi ili uwe unarekodi bongo movie na video za ubongo fleva ambazo zinaharibu maadili ya nchi yetu!
Enewei:
Mkuu wangu MSAfanja kuna chuo kipo Bagamoyo hapo kinahusika na mambo ya kozi unayotaka kusomea.
jamani nsaidieni nataka kuapply chuo cha madin dodoma yeyote mwenye information anijuze jaman...!