Parasite
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 613
- 575
Poleni kwa majukumu, samhani sana wadau naomba tena msaada wenu japokua ni kwa faida ya wengi.kwa kawaida tunafahamu kwamba kuna mizunguko ya hedhi[MENSTRUATION CIRCLES] mingi kulingana na tezi za mtu jinsi zinavyofanya kazi.sasa kuna dada zetu walishasema hapahapa jukwaani kwamba mizunguko yao inaenda hadi siku 34 alafu kuna hawa wenye mizunguko mifupi kama siku 22, 23, 24.
Sasa swali je? hawa wote siku zao zakushika mimba zinafanana au kuna tofauti? samahani sana naomba msaada wenu wanajamii.
Sasa swali je? hawa wote siku zao zakushika mimba zinafanana au kuna tofauti? samahani sana naomba msaada wenu wanajamii.