Msaada wanaJF jinsi ya kuepuka vishawishi

Msaada wanaJF jinsi ya kuepuka vishawishi

Cassnzoba

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2022
Posts
3,661
Reaction score
6,913
Habari za asubuhi

Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1

Nimekuwa simwelewi coz me ni wale watu ambao ni wakimya sana nikimsalimu tu naenda zangu ndani coz nkikaa pale nje tu mitego mingi na pia kuna wadada nao wananitega sana na mimi sitaki kufanya ujinga kwani nataka kutimiza malengo yangu ambayo hata robo sijayafikia.

Uzi tayari msada kwa me mdogo wenu
 
🤣🤣🤣🤣🤣 hivi kwanini wanaume wa siku hizi wanaogopa mitego?

Nyani mzee kakwepa mishale mingi.
Mkuu angalia usijekua unakwepa punani alaf unaenda kupiga nyeto.

Ni kama kuuza bunduki na kununua rungu.

Amka kijana! Chakata huyo singo maza ukimaliza chakata hao mabinti wote waliopo.

Ukifanya hvo wataishia kugombana wao kwa wao af we utabaki na malengo yako.
 
kwahyo unataka hao wadada wavae magunia ndani kiasi wakiinama kufua ajue ni mti umekatwa👽 hakuna binadamu.

akili ya kuwaza anategwa anaitoa wapi km sio kujihsi?
Achana nae fanya yako..
 
kwahyo unataka hao wadada wavae magunia ndani kiasi wakiinama kufua ajue ni mti umekatwa👽 hakuna binadamu.

akili ya kuwaza anategwa anaitoa wapi km sio kujihsi?
hebu sikia nikitoka nje tu kuna katabia kama alikua nje lazma afungue khanga aliyojifunga na kujifanya anaifunga tena af huku akiniangalia mara ck nyingne nimerud zangu hm kaacha dirisha wazi kiasi af akawa kajifunga hy khanga yake kaipandisha juu huku akikatika na akiangalia upande nliopo mkuu umeelewa au bado? Nijue niache au niendelee kukuelewesha mana unajifanya huelewi hv..
 
🤣🤣🤣🤣🤣 hivi kwanini wanaume wa siku hizi wanaogopa mitego?

Nyani mzee kakwepa mishale mingi.
Mkuu angalia usijekua unakwepa punani alaf unaenda kupiga nyeto.

Ni kama kuuza bunduki na kununua rungu.

Amka kijana! Chakata huyo singo maza ukimaliza chakata hao mabinti wote waliopo.

Ukifanya hvo wataishia kugombana wao kwa wao af we utabaki na malengo yako.
Mmmh mpaka malengo yatimie 1st
 
Hapo kwenye miaka hapo ndio nimekwama. Hiyo ndio miaka gani 41-22?. Eti we mzee?. Ushauri mpe anachotaka huyo mama,kama unacho hapo?.
 
Habari za asubuhi

Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1

Nimekuwa simwelewi coz me ni wale watu ambao ni wakimya sana nikimsalimu tu naenda zangu ndani coz nkikaa pale nje tu mitego mingi na pia kuna wadada nao wananitega sana na mimi sitaki kufanya ujinga kwani nataka kutimiza malengo yangu ambayo hata robo sijayafikia.

Uzi tayari msada kwa me mdogo wenu

Unakwepaje kishawishi wakati kimekuja kwako kimadhumuni kabisa,
 
Back
Top Bottom