Msaada wanaJF jinsi ya kuepuka vishawishi

Msaada wanaJF jinsi ya kuepuka vishawishi

Waombe namba zao unirushie PM
Habari za asubuhi

Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1

Nimekuwa simwelewi coz me ni wale watu ambao ni wakimya sana nikimsalimu tu naenda zangu ndani coz nkikaa pale nje tu mitego mingi na pia kuna wadada nao wananitega sana na mimi sitaki kufanya ujinga kwani nataka kutimiza malengo yangu ambayo hata robo sijayafikia.

Uzi tayari msada kwa me mdogo wenu
 
Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1

Mkuu wewe ni mkubwa... hio kivileeee achana nayo.

Yafaa nini braza wa miaka 40 kutegwa na binti wa miaka 25 halafu unashindwa ku handle the situation.?

Mtu wa umri wako hutakiwi kuepuka vishawishi, unatakiwa kuvishinda vishawishi.

Face the Challenge
 
Back
Top Bottom