Habari za asubuhi
Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1
Nimekuwa simwelewi coz me ni wale watu ambao ni wakimya sana nikimsalimu tu naenda zangu ndani coz nkikaa pale nje tu mitego mingi na pia kuna wadada nao wananitega sana na mimi sitaki kufanya ujinga kwani nataka kutimiza malengo yangu ambayo hata robo sijayafikia.
Uzi tayari msada kwa me mdogo wenu
😃😃😃😄😄 nikajua 42anatimiza mwaka huu 2022 (22)
Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1
Nitege basi na mimi...Ndio maana kuna Polisi Tanzania
Kawashtaki polisi….
Naogopa watasema nimekurogaNitege basi na mimi...
Ulishaniroga siku nyingi mbona...Naogopa watasema nimekuroga
Ila juzi si ulinambia nikoleze au nakosea?Ulishaniroga siku nyingi mbona...
Na ukakoleza haswa... Kaone kwanza...Ila juzi si ulinambia nikoleze au nakosea?
Hahahh hilo tuu usijaliNa ukakoleza haswa... Kaone kwanza...
Naomba unitege...Hahahh hilo tuu usijali
Sema lingine…
Subiri mwezi mtukufu uishe basNaomba unitege...
Mbona hauzuii kitu...Subiri mwezi mtukufu uishe bas
Aya bas kesho nitakoleza jiandae…Mbona hauzuii kitu...