ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Hivi huu ni ugonjwa gani,maana leo naweza kuwa okay lakini kesho kwa chakula hichohicho nikaharisha vibaya.Madaktari wanadai niorodheshe vyakula vyote vinavyonisumbua na kuviepuka kwani hawaoni ugonjwa,tatizo laweza kuwa nini?