Ngekemkeni Mitomingi
Member
- Jan 16, 2014
- 24
- 0
Naomba kupata taarifa zifuatazo kwa anayefahamu.
Napenda kuwekeza kwenye kilimo. Hivyo ningependa kujua maeneo ambayo naweza kupata shamba lenye rutuba katika mkoa wa Morogoro ama Tanga. Tafadhari naomba iwe ni sehemu ambayo inakubali kilimo cha mazao tofauti tofauti kama vile Mahindi, maharage, ndizi n.k na pasiwe pakame. Pia ningependa kujua wastani wa bei ya heka moja ili nijipange. Natanguliza shukurani zangu za dhati kwa watakao nipatia taarifa sahihi.
Napenda kuwekeza kwenye kilimo. Hivyo ningependa kujua maeneo ambayo naweza kupata shamba lenye rutuba katika mkoa wa Morogoro ama Tanga. Tafadhari naomba iwe ni sehemu ambayo inakubali kilimo cha mazao tofauti tofauti kama vile Mahindi, maharage, ndizi n.k na pasiwe pakame. Pia ningependa kujua wastani wa bei ya heka moja ili nijipange. Natanguliza shukurani zangu za dhati kwa watakao nipatia taarifa sahihi.