Alex Dennie
Senior Member
- Aug 31, 2013
- 112
- 44
Habari zenu waungwana.....ishu ipo hivi...
Kuna jamaa yangu anakaa Malawi sasa ana demu wake yupo Iringa, jamaa ana muda wa miezi nane sasa hajaonana na mpenzi wake huyo
Mkasa ni kwamba, wiki iliyopita huyo dada alichora picha kwenye karatasi na kuipiga picha kumtumia msela, sasa kwa bahati mbaya ile picha aliopiga kapiga kama na KIPIMO CHA KUPIMIA MIMBA jamaa anahisi hivyo hana uhakika kama ndo chenyewe au vipi sababu hana amevisahau lakini anakumbuka kumbuka akiona hiyo picha (hapo chini)
Mshkaji anajiuliza kama ni kipimo ina maana mchumba wake ana mimba?
Msaada anaotaka ni nyie wadau muangalie hicho kipimo halafu mfananishe ili alinganishe, then mada nyingine kubwa itafuata baada ya hii kujulikana itafuata...
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yangu anakaa Malawi sasa ana demu wake yupo Iringa, jamaa ana muda wa miezi nane sasa hajaonana na mpenzi wake huyo
Mkasa ni kwamba, wiki iliyopita huyo dada alichora picha kwenye karatasi na kuipiga picha kumtumia msela, sasa kwa bahati mbaya ile picha aliopiga kapiga kama na KIPIMO CHA KUPIMIA MIMBA jamaa anahisi hivyo hana uhakika kama ndo chenyewe au vipi sababu hana amevisahau lakini anakumbuka kumbuka akiona hiyo picha (hapo chini)
Mshkaji anajiuliza kama ni kipimo ina maana mchumba wake ana mimba?
Msaada anaotaka ni nyie wadau muangalie hicho kipimo halafu mfananishe ili alinganishe, then mada nyingine kubwa itafuata baada ya hii kujulikana itafuata...
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app