Msaada: Wanauchumi nitawezaje kusave mshahara wa laki moja na ishirini, ili nami niwe na mafanikio?

Aisee..Ushauri wa wazi lakin wa upolee kabisaa.
Ubarikiwee
 
Mkuu naona bado uko kwenye comfort zone. usiposhtuka mapema utakufa masikini nakushauri piga chini iyo kazi, tafuta issue nyingine,
Kwa ngozi nyeusi kama sisi nivigumu sana kutafuta kazi ingine uku tukiwa tunafanya kazi ya mwanzo effort utayotumia sio kubwa kama effort ya mtu ambae hana kazi. Hata ivyo kubwa kuliko yote tafuta mtaji ujiajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni uhalisia kabisa, mama yangu ni mamantilie hadi sasa. Anakula kuanzia chai hadi chakula cha jioni yeye wafanyakazi na wanae wawili hapo hapo na hajayumba mtaji. Zipo nyakati anaangukaga lkn anasimama tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachotakiwa ni kukata shauri kuwa liwalo na liwe, aende mtaani akapambane kitofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hizi jamii zetu ngozi nyeusi wee acha tu, watafunguliwa biashara bado wataona wewe unazo pesa nyingi hadi gari unalo anafaidi mkeo, utaandamwa hadi na ukoo mzima hadi kupigwa ndumba na kutamkiwa maneno ya hovyo hovyo yaliyobeba laana. Ufukara na utegemezi uliokithiri kwenye jamii zetu unakwamisha hata maendeleo ya nchi zetu, hapo bado fitina, majungu, ushirikina, elimu duni, mitazamo hasi na mambo mengi ya hovyo hovyo. Kuja kufikia ustaarabu wa wazungu nafikiri hadi mwisho wa dunia..
 
Kwa maisha ya mjini tusidanganyane hakuna cha kusave kwa mshahara huo. Hata kwa matumizi yako ya kawaida haitoshi mkuu.

Tafuta shughuli nyingine ya kufanya kama inawezekana ila usiache kazi mpaka mitambo ikae sawa.
Ni kwel mkuu.
Ila kama ukitandikw na maisha utajua tu namna ya hiyo hela mpaka ikutoshe.

Nimeshawah fanya kaz nilikua nalipwa 3000/=.
Kwasasa hainitoshi lakin mm hiv hiv enz zile ilikua inanitosha.
 
Ndugu wanaandama kisawasawa! Wanademand mambo usio na uwezo nayo wakiamini unao uwezo. Ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wanaandama kisawasawa! Wanademand mambo usio na uwezo nayo wakiamini unao uwezo. Ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha..ukijaribu kuwaelewesha kwamba kwa sasa mambo siyo mambo hawaelewi. wanachojua wewe upo mjini unafanya kazi na wamesikia hadi gari unalo, sasa utawaeleza kitu gani..
 
Basi hapo njia iliyobaki kuwekeza sana tu ndio utafaidi pesa zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akitaka vocha labda aache kunywa chai, au atembee kwa miguu muda wa kutoka kazini.
Hivyo hivyo sabuni, dawa ya meno na ajichunge asiugue.
Ndio mana wanasema mtaji wa maskin ni nguvu zake mwenyewe.
Nadhan hii nguvu walilenga AFYA.kwa maskin siai afya ndio company yetu namba 1 kututoa kwenye lindi la ufukara
 
Akitaka vocha labda aache kunywa chai, au atembee kwa miguu muda wa kutoka kazini.
Hivyo hivyo sabuni, dawa ya meno na ajichunge asiugue.
Ndio mana wanasema mtaji wa maskin ni nguvu zake mwenyewe.
Nadhan hii nguvu walilenga AFYA.kwa maskin siai afya ndio company yetu namba 1 kututoa kwenye lindi la ufukara
 
Mkuu kuna muda inabidi ufanye maamuzi magumu Nina ndugu yangu yupo TRA yeye anafanya mambo yake mwenyewe anatoa msaada kwa ndugu pale anapoweza na kashapiga hesabu zake tu na ana gari na mambo mengine mengi na MAENDELEO yanaenda vizuri washalalamika sana wameacha wenyewe KUNA MUDA BORA KUWAKAZIA TU ILI ufikie malengo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwakuwaza hivyo mkuu
Unaweza Ila jitahidi Sana kujibana kufikia malengo

Nilipangwa kikazi wilaya furani nje kidogo ya mji wakati huo sikufurahia sababu naenda mbali na rafiki na mji pia
Baada ya miez Kama mitatu niliombwa kurudi mjini(Kama ntapenda) nikagoma!!
Sababu hapa nilipofika nnasave pesa nyingi Sana
Ofis haipo mbal na geto....hata vyakuruka pia...ukiacha mbali Mambo ya nauri

Mfano Mara nyingi nakuja Kula huku mitaa ya geto...sinunui maj ya kunywa kabla sijaenda ofisn nakua comfortable kabsa.....

Ushauri achana kabsa na biashara yakutongoza tongoza ovyo

kelphin kepph
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…