Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

Mkuu hiyo web mobile application ni ipi naitaka ntaipataje kama unayo au kuna mwenye nayo naomba anielekeze au anitumie telegram kwa namba hizi 0756695846.
 
Basi ukiona hivyo ujue unatumia JF web/computer version, sio JF mobile version/application. Unaweza ukatumia computer version kwenye baadhi ya simu zikakubali lakini sio zote.
Na mimi nawezaje kuipata hiyo web mobile application mkuu maana nimechoka na hii app nilionayo haina swaga men kama vp mweny nayo anitumie whatapp au tereglama namba 0756695846
 
*nimeona*
 
bado kuweka rangi maneno nani wa kunielekeza zaidi kwa ufasaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…