Mkuu ebu nifundishe na mimi kubold kwa rangiKama hujui kuandika kwa rangi Seema nikufunze
pia ku bold nafundisha
Kuandika kwa rangi Anza na alama hii "[" Kisha neno "color" Kisha alama hii "=" Kisha neno "red" Kisha alama hii "]" Kisha "ujumbe" .Mkuu ebu nifundishe na mimi kubold kwa rangi