[kumbe]Kubold maneno JF ni [ b ] bananisha hapo kisha andika maneno yatakua bolded
testNdani ya mabano weka b kisha neno test liweke nje ya mabano
usiache nafasi kwenye neno color yaani hivi, unaandika mabano ya namna hii [color] halafu kisha andika sentensi yako ila usiache nafasi kati ya hayo mabano na sentensi yako unayoitaka uweke rangi. Baada ya kuandika sentensi yako. Andika /color lakini iwe ndani ya mabano na pia usiache nafasi. Yaani hivi [/color]