KuBold maneno whatsapp fanya hivi;
kabla ya sentensi au neno unalotaka liwe BOLD ukitype, anza na *(nyota) kisha andika neno au sentensi unayotaka kuiandika katika bold, kisha malizia kwa kuweka *(nyota) tena mwishoni, na hapo tayari umeshaBOLD neno au sentensi yako whatsapp.
Cc. Mboromi lade