Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

LEO USIKU NIMELALA NA MKE WA MTU, NIMEMKUNJA KISAWASAWA MPAKA MWENYEWE KANIPIGIA SALUTE, NDIO NIMETOKA KUMRUDISHA KWAKE MUMEWE NDANI ANAKOROMA TUU, NIMEJIONA BOOOOONGE LA MJANJA.... 😂 😂 😂 😂 😂


SAMAHANINI KWA KUTOKA NJE YA MADA HIVI HUMU NDIO CENTRAL POLICE AU UWANJA WA FISI??
 
Mkuu kama unatumia mobile application sio rahisi kubold, kupaka rangi wala kukuza maandishi, etc. Kama unatumia web application kwenye simu au kompiuta inawezekana kufanya hivyo kwa kufuata hizo alama nilizozungushia hapo kwenye mchoro (tazama mchoro hapo chini). Ukigusisha buku yako kwenye herufi zilizopo juu ya ukurasa wako wa kuandikia, utaona kwamba B inamaanisha bold, I inammanisha italic, U, underline, nk. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni kuchagua/highlight maneno unayotaka kufanyia ukarabati na kutekeleza aunachotaka kukifanya mubashara. Bila shaka umenielewa mkuu.
View attachment 525727[/QUOTE


mbona natumia mobile browser [na bado napata hizi huduma burooooo]
 
NAOMBENI NILALE MWENZENU SINA USINGIZI SISINZII TUU HAPA MPAKA MACHO YANAJIREMBUA NAKITAMANI KITANDA KIWEMA SEPETU
 
Back
Top Bottom