Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumtukana nani mkuu?Habari za muda ndugu wa JamiiForums
Naenda moja kwa moja. Huwa natamani sana na mimi kufanya bolding ya maneno whatsap au humu ila huwa siwezi. Naomba mwenye uzoefu anielekeze. Alafu pia maneno ya rangi.
Asanteni, nawasilisha.
Haahahaa.... Humu uwa wote wajuaji.. Kumbe mtu akiuliza kitu watu wengi wanaandika notice kimya kimya..
najaribuokay