Msaada wapendwa

Msaada wapendwa

Ngatelefijo

Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
20
Reaction score
3
Naombeni ushauri jamani nipo kwenye ndoa nina mwaka sasa natafuta mtoto na mke wangu imekuwa ngumu,nimepimwa sperms zipo poa na yeye kapigwa ultrasound yupo poa, mpaka najiuliza labda tunakosea kujua siku za hatari zakushika mimba,naombeni ushauri na kujuzwa siku za hatari.
 
Pole mkuu. Nilimskia mtu mmoja akisema kuna groups flani za damu hua hazikubaliani yaani watu wenye groups hizo uwezekano wakupata mtoto unakua mdogo
Note; nimesahau ni group gani na sina uhakika, keep waiting madokta wanakuja
 
Back
Top Bottom