Kwa utaratibu wa sasa hivi ndugu wala huwahitaji sana hao watu, ngoma online ila changamoto kitambulisho cha uraia, directors wote lazima muwe navyo.Wakuu Salama,
Nahitaji kusajili kampuni ambapo ntaanza na mimi kutafuta tenda au kazi ndogondogo(digital marketing) kutoka kwa makampuni madogo madogo au watu binafsi.
Nakwepa kutumia makampuni yanayofanya usajili wa kampuni kwa sababu ya gharama kuwa kubwa. Kma naweza mwanasheria binafsi itakuwa ni vema.
Na hivi, yule jamaa anaitwa single wa kusajili makampuni bado yupo?