SELEMAN MAHIMBO
New Member
- Nov 17, 2022
- 2
- 0
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naingia rasmi kwenye kilimo na nahitaji kulima kisasa sababu nyenzo ninazo.
Nahitaji huduma ya kupima soil pH kwa ajili ya kujua aina ya mazao ninayoweza kulima, aina ya mbolea ninayopaswa kutumia n.k