kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 623
Habari zenu ndugu zangu.
Nahitaji mkopo wa kufanya project ya kilimo, lkn dhaman ni kiwanja chenye ukubwa wa 18*19 kipo Mbezi Dsm, nahitaji sana mkopo huo ili niweze kujikwamua, kimaisha maana hali sio shwari.
Karibuni.
Nahitaji mkopo wa kufanya project ya kilimo, lkn dhaman ni kiwanja chenye ukubwa wa 18*19 kipo Mbezi Dsm, nahitaji sana mkopo huo ili niweze kujikwamua, kimaisha maana hali sio shwari.
Karibuni.