Ndugu biashara cku hizi upambane kweli, ila kwa hao ndege jaribu mitaa ya wadosi kule oystebay, masaki, mikocheni n.k hutakosa wa kununua wanapenda kuwafuga kama urembo. Kwa kuanzia wr tengeneza cage ndogo uwaweke ndege wako then katege kwenye junction za hiyo mitaa.
N.B hakikisha uwe na kibali cha kuwauza hao ndege sababu maliasili wakikushika huna permit ni msala mwingine