MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 355
Habarini wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nahitaji kujua kama kuna sehemu hapa Dar es salaam wananunua ndege (birds) hasa chiriku (canaries) na kama ipo bei yake ikoje? Niliwahi kusikia juu juu zamani kidogo kuhusu hii biashara.
Natanguliza shukrani
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nahitaji kujua kama kuna sehemu hapa Dar es salaam wananunua ndege (birds) hasa chiriku (canaries) na kama ipo bei yake ikoje? Niliwahi kusikia juu juu zamani kidogo kuhusu hii biashara.
Natanguliza shukrani