Ndikusyaganya JF-Expert Member Joined Aug 11, 2013 Posts 216 Reaction score 119 Mar 7, 2024 #1 Habari waungwana, naomba kujua kama kuna kituo kizuri na chenye kujali maadili cha mafunzo ya michezo hasa mpira wa miguu kilichopo ndani ya Wilaya ya Ubungo - Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
Habari waungwana, naomba kujua kama kuna kituo kizuri na chenye kujali maadili cha mafunzo ya michezo hasa mpira wa miguu kilichopo ndani ya Wilaya ya Ubungo - Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
Mama paradigm JF-Expert Member Joined Apr 17, 2010 Posts 372 Reaction score 755 Mar 7, 2024 #2 Mimi pia nasubiri waje, hasa Maeneo ya Jimbo la Kawe.
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Mar 7, 2024 #3 Alliance sports academy kwa mwanza