Ndikusyaganya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 216
- 119
Habari waungwana, naomba kujua kama kuna kituo kizuri na chenye kujali maadili cha mafunzo ya michezo hasa mpira wa miguu kilichopo ndani ya Wilaya ya Ubungo - Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.