pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Wapendwa katika bwana, mimi natarajia kujikomboa kiuchumi kwa kujikita katika ufugaji wa kuku wa kienyeji chotara baada ya kupata mafunzo wengi kutoka kwa wataalam mbalimbali kutoka kwa kubota, mama joe, livapul fc, mama jimmy gazet,kichwa mbovu na wengineo sasa nimeona ni muda wa kutake action mim nipo mkoan kilimanjaro moshi naomba mnisaidie wapi nitapata mbegu nzuri nataka kufuga chotara kwa ajil ya mayai na nyama nitaanza na vifaranga 200 plz nisaidien wakuu sitaki kutembea na bahasha tena nataka nipambane mpaka kieleweke kwanini kubota aweze mimi nishindwe no thanx nitapambana aisee