culboy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 526
- 47
Hebu tuweke rekodi sawa. Kifaranga wa siku moja ni sh. 1500/= na hao wa mwezi ni sh. 3000/=?! Sawa au sivyo. Sasa kutoka Arusha kuja DAR inakuwaje? Funguka bro kitomari2.
kwa ushauri wangu chukua kuku wa sku1 ndio wazuri kwa kuwasafirisha