Mimi ninmashaka na hawa wa Israel, wekundu kwa sababu nilio waona mimi kenya ni pure Kienyeji, waati hawa unao wazungumzia ni kama wa kisasa make hawaatamii, na kenye ile taasisi ya Kenya rangi yao si hii nyekundu bali ni rangi kama Kanga ndege au madoa doa,
Hawa wekundu wanaweza kuwa ni wa kisasa lakiniwametoka Israeli kwa sababu Israeli hakuna Aina moj ya Kuku, kumbuka wale watu waliwahi hadi kutengenezea kuku maabara ambaye hana manyoya kabisa, ila ni kuku na anatembea, yuko Uchi
So ninao zugumzia mimi ni Pure Kienyeji, n wapo na wengine kutoka South Africa kwa Wazuru ambao nao ni mbegu nzuri sana na ni Pure