ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,096
- 2,287
unafaa kuliwa kama mboga huu mmea?
Moja kati ya survival ways za kupata maji jangwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafaa kuliwa kama mboga huu mmea?
Feds Watching. Its illegal to smuggle these!!Inauzwa kwahiyo mkuu??? Unanunua???
Tupeane dili kama kuna hela unataka tani ngapi?😂😂
Manaake maza bado kakaza vyuma
Umeshawahi kutumia???Njoo nikupe Tawi (mkonga) mmoja...
Soma post yangu ya juu nimefafanua kidogo. Huruhusiwi kutumia bila kuwa under guidance ya mtaalam atakayekuwekea kipimo, hata watu wote wanaotumia wanapendekeza sana.unafaa kuliwa kama mboga huu mmea?
Asante sana. Itanidi utupe ufafanuzi zaidi na jinsi ya kuutumia. Utapona wengi. Mimi sijawahi kuuoana mmea huuSoma post yangu ya juu nimefafanua kidogo. Huruhusiwi kutumia bila kuwa under guidance ya mtaalam atakayekuwekea kipimo, hata watu wote wanaotumia wanapendekeza sana.
Kuchanjia dushe.Ngoja waje. Lina kazi gani Mkuu ili tusaidie na wengine?
Hii ni mimea yenye psychoactive content (psychedelic) inayoitwa mescaline hitaji langu kubwa ni kuandaa kwa ajili ya mambo ya kiroho na inasaidia kurewire ubongo, ni dawa strong sana ikitumika kwa madhumuni yenye tija.
Hii ina kazi moja na DMT, Pscilocybin Mushrooms and the likes...
Tupe darasa chiefHii ni mimea yenye psychoactive content (psychedelic) inayoitwa mescaline hitaji langu kubwa ni kuandaa kwa ajili ya mambo ya kiroho na inasaidia kurewire ubongo, ni dawa strong sana ikitumika kwa madhumuni yenye tija.
Hii ina kazi moja na DMT, Pscilocybin Mushrooms and the likes...
Mkuu huu mmea una nguvu kubwa sana katika kurudisha mental health kwa watu wenye anxiety, depression na watu wenye addiction. Ni mmea pia kwa watu wenye kutaka kufunguka zaidi kuielewa nature kuna uzi ntaulink hapa tulijadili kuhusiana na hizi psychedelics.Asante sana. Itanidi utupe ufafanuzi zaidi na jinsi ya kuutumia. Utapona wengi. Mimi sijawahi kuuoana mmea huu
Hii kitu hairuhusiwi kuuzwa na serikali, na serikali haijahalalisha matumizi yake kwa sababu ikitumika bila knowledge inaambatana na risks nyingi, mojawapo ijulikanayo kama bad trip.Mkuu kama kazi yake ni kubwa hivi si utangaze Dau
Nimeshapata kuna vijana wapo udom wanashughulikia utaratibu mzima.Haya yako mengi sana kwenye safari zangu za kikazi wewe uko wapi? Unataka kiasi gani? Kama ni dili nipe nikuletee
Yale yanaitwa matini, ni jamii ya xerophytes lakini yenyewe haina psychedelic content.Hii si ile inatoa matunda flani rangi ya pink tu njano... Tulikuwa tunaita furahisha mk****u, ukila jiandae chooni [emoji4][emoji4][emoji4]
Usisahau kunitag chiefMkuu huu mmea una nguvu kubwa sana katika kurudisha mental health kwa watu wenye anxiety, depression na watu wenye addiction. Ni mmea pia kwa watu wenye kutaka kufunguka zaidi kuielewa nature kuna uzi ntaulink hapa tulijadili kuhusiana na hizi psychedelics.
Nimeupost hapo juu angalia post zangu mkuuUsisahau kunitag chief
ninausubiri huo uzi.ikikupendeza Chief nitaomba uniite tafadhaliMkuu huu mmea una nguvu kubwa sana katika kurudisha mental health kwa watu wenye anxiety, depression na watu wenye addiction. Ni mmea pia kwa watu wenye kutaka kufunguka zaidi kuielewa nature kuna uzi ntaulink hapa tulijadili kuhusiana na hizi psychedelics.
🤛🤛🤛Wote wenye maswali na shauku mnaweza pitia uzi huu...
Psychedelic Drugs & Consciousness
Habari zenu wakuu, Natanguliza salamu za pole kwa wale waliofiwa na wapendwa wao katika kipindi hiki kigumu. Kikubwa tuwasikilize watalaam wa afya na tuwakinge tuwapendao. Mtanisamehe kwa kuchanganya lugha zote mbili katika hii thread lakini naomba kwa wale watakao kua interested with the...www.jamiiforums.com
Upo MAHALI Kama unaenda MpwapwaHabari za jioni wandugu,
Nimekuwa nikitafuta mmea aina ya San Pedro Cactus,jina la kiswahili sijafanikiwa kuufahamu, kwa yeyote anayeweza kunielekeza maeneo nayoweza kuupata kwa hapa Tanzania atakuwa amenisaidia sana.
Nimeambatanisha na picha hapo chini, Natanguliza shukrani.
View attachment 1747772