Msaada: Wapi nitapata fundi wa kuunga hii Rim?

Haha haaahaaa[emoji23][emoji23]
 
Yule dogo mshamba halafu sijui kwanini watoto wa Iringa waliokulia chaka wana style za kuvimbaga! Sio wa kwanza yule kumuona ananata[emoji28] yani mafanikio kidogo anahisi kila mtu boya isipokuwa wasanii
Sasa hivi ana njaa...matonya akasubiri

Kipindi kile mastar wanasukuma cocaine, wanapata hela wanaenda kuweka mziki mnene, Stone alivyoingia akawafungia kwenye lichupi la Lemutuz hawana hata mia, na magari wamepaki/ kuuza kutonunua mapya!....Ampate nani sasa wa kumvimbia kimezidi kukondeana tu
 
Mkuu, picha ya kwanza size ya tairi ilikuwa 215/45/r17, picha ya Baada ya kutengeneza rim ni 215/55/r17. Which means umeongezA nyama hivyo gari itanyanyuka upande mmoja. Umenunua tairi kubwa

Hio ilikua sample tu jamaa aliweka ili nione inavokaa freshy, sina utahira huo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana, hizo rim za kichina siyo imara kabisa, burst tu rim imemegeka kama muogo...

Nunua nyingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…