Msaada: Wapi nitapata fundi wa kuunga hii Rim?

Msaada: Wapi nitapata fundi wa kuunga hii Rim?

Hiyo gari saivi endesha kama unasindikiza msafara wa bibi harusi

siku hizi ndio naelewa kwanini nilikua nanyimwa magari ya watu

kumbe maraia walikua na siri na magari yao,kweli ukikua unayaona mengiii

Haya mkuu karibu ulimwengu wa kuendesha gari kama uko foleni ya tazara,mdonyo mdonyo hadi home
Haha haaahaaa[emoji23][emoji23]
 
Yule dogo mshamba halafu sijui kwanini watoto wa Iringa waliokulia chaka wana style za kuvimbaga! Sio wa kwanza yule kumuona ananata[emoji28] yani mafanikio kidogo anahisi kila mtu boya isipokuwa wasanii
Sasa hivi ana njaa...matonya akasubiri

Kipindi kile mastar wanasukuma cocaine, wanapata hela wanaenda kuweka mziki mnene, Stone alivyoingia akawafungia kwenye lichupi la Lemutuz hawana hata mia, na magari wamepaki/ kuuza kutonunua mapya!....Ampate nani sasa wa kumvimbia kimezidi kukondeana tu
 
Pole sana, hizo rim za kichina siyo imara kabisa, burst tu rim imemegeka kama muogo...

Nunua nyingine...
 
Back
Top Bottom