Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Swali mwanana kabisa ππHahhaaa.... Sasa kama zinaungika vizuri kwanini ushauriwe usifunge mbele?
Low profile tamu ila ππNdio ubaya wa low profile, usiunge nunua nyingine na ununue size 15 au 16... Kilichokuponza ww ni hiyo low profile
Acha utani mkuu na maisha yako πππ.. tafuta rim mpya .. hiyo kama vipi weka kama spare..Naendesha gari ila siinjoi kabisa wasiwasi, jmc rim zitakua nmefika tyr nachange
Hizi rim za kununulia bongo naonaga magumashi tu. Sijawahi kubadilisha rim toka niagize GariWakuu salama?
Juzi nilipata crush ikapelekea rim kuvunjika na tairi kubast, ila nikasikia kuna wataalam wanaunga rim inakaa vzr tu...
Rim zinazo kuja na gari ndio rim sasaHizi rim za kununulia bongo naonaga magumashi tu. Sijawahi kubadilisha rim toka niagize Gari
Ndio maana mimi naikubali sana fekon yangu hainipi stress kabisa inapofika suala la matengenezoπHapo ndipo huwa nawaeleza vijana kuwa wanakurupuka kimaisha. Fikra za kuunga rim zinaonesha Champagnee bado hajafikia maisha ya kumiliki gari. Maisha yake yangekuwa ya furaha kama angekuwa anamiliki pikipiki ambayo angemudu spea zake. Tuishi kutokana na kipato baadala ya kujikweza - ambapo ni gharama
Ndio ubaya wa low profile, usiunge nunua nyingine na ununue size 15 au 16... Kilichokuponza ww ni hiyo low profile
Acha utani mkuu na maisha yako [emoji3][emoji3][emoji3].. tafuta rim mpya .. hiyo kama vipi weka kama spare..
Hizi rim za kununulia bongo naonaga magumashi tu. Sijawahi kubadilisha rim toka niagize Gari
Aah! Tafuta mkeka ulio nyooka uitest Rim, tembea hata 130 to 170 kmh kwa mda mrefuNaona gari haina balance afu starring imekua ngum kdg