La Cosa Mia
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 271
- 127
asante,kwa tangazo hili hapa hakuna course ya anaestisia
Kweli mkubwa...ngoja nikipata nitabandika hapa ila tembelea web ya wizara ya afya nadhani utapata maelezo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante,kwa tangazo hili hapa hakuna course ya anaestisia
Kweli mkubwa...ngoja nikipata nitabandika hapa ila tembelea web ya wizara ya afya nadhani utapata maelezo....
Habari zenu wana JF, mnaweza kunijuza wapi hapa bongo au mbele naweza kusoma diploma au advance diploma ya medical officer nakupata ufadhili wa serekali? Matokeo yangu ya O-Level Biology - B, Physics - A, Chemistry - A na Mathematics - B. Pia nina diploma ya Computer Engineering kutoka Mbeya University of Science and Technology nakupata GPA 4.2. Tafadhali nawasilisha kwa msaada.
anaesthesia huwa inafundishwa kwa watu walioko kazini. Ni special programu ambayo huwa wanakuwepo manesi, cos, amo. Huwa inatolewa sehemu mbali mbali, nakumbuka muhimbili walikuwa wanafundisha watu wa mikoa ya pwani. Kama ni in service ongea na dmo anajua utaratibu kwa huwa wanawaombea pale wanapokuwa na shortages. Hakuna ambayo hutolewa kwa fresh from school
anaesthesia huwa inafundishwa kwa watu walioko kazini. Ni special programu ambayo huwa wanakuwepo manesi, cos, amo. Huwa inatolewa sehemu mbali mbali, nakumbuka muhimbili walikuwa wanafundisha watu wa mikoa ya pwani. Kama ni in service ongea na dmo anajua utaratibu kwa huwa wanawaombea pale wanapokuwa na shortages. Hakuna ambayo hutolewa kwa fresh from school
kasema ukweli!Aisee unatukata maini tulioko medical schools....yani nimkuwa mdogooooo....
Habari zenu wana JF, mnaweza
kunijuza wapi hapa bongo au mbele naweza kusoma diploma au advance
diploma ya medical officer nakupata ufadhili wa serekali? Matokeo yangu
ya O-Level Biology - B, Physics - A, Chemistry - A na Mathematics - B.
Pia nina diploma ya Computer Engineering kutoka Mbeya University of
Science and Technology nakupata GPA 4.2. Tafadhali nawasilisha kwa
msaada.