Habari zenu wanajamii.
Naombeni msaada kuwapata wauzaji wa magari hapa Dar nataka kubadili biashara kuna gari nauza.
Zaidi ya kuandika forsale na kuwatumia madalali naona itanichukua muda,ila kuna kipindi nilishawahi sikia
tangazo japo sina details zao za kutosha hao watu rasmi wapo kwa ajili ya kazi ya kuuza magari na mali nyinginezo
kwa hiyo kwa yeyote mwenye taarifa zao jinsi ya kuwapata naomba msaada.
asanteni
Aina ya gari-coaster boxbody AUZ ipo barabarani kwa muda wa miaka mitatu,bei 22million.
Naombeni msaada kuwapata wauzaji wa magari hapa Dar nataka kubadili biashara kuna gari nauza.
Zaidi ya kuandika forsale na kuwatumia madalali naona itanichukua muda,ila kuna kipindi nilishawahi sikia
tangazo japo sina details zao za kutosha hao watu rasmi wapo kwa ajili ya kazi ya kuuza magari na mali nyinginezo
kwa hiyo kwa yeyote mwenye taarifa zao jinsi ya kuwapata naomba msaada.
asanteni
Aina ya gari-coaster boxbody AUZ ipo barabarani kwa muda wa miaka mitatu,bei 22million.
