Msaada was frec za itv haya mafidh makubwa

Msaada was frec za itv haya mafidh makubwa

Terry26

Senior Member
Joined
Mar 25, 2019
Posts
139
Reaction score
84
Wakuu Mimi fundi madish sasa apa kwa jirani ana dish lake haya ya zamani madish makubwa nlikuwa naomba msaada.kwa anayefahamu frec za itv maana naangaika signal. Sipati kuna watu wameniambia wamebadilisha frec
 
Ta
kimbia hapo.hayo madish ya zamani magumu.
Mwambie aingie digital
Najua ni magumu mi huwaga. Nafungaga ila. Tatizo huwaga wanabadishisha sana frec yaa. Namba na satilati na maranyingi wanayo. Tumia haya madish huwa ni. Wazee ukiwaanga wanunue ving,muzi wamekuwa. Wagumu
 
FTA hao wazee wana penda mteremko kulipia hawataki.
Jaribu Google utapata
Ta

Najua ni magumu mi huwaga. Nafungaga ila. Tatizo huwaga wanabadishisha sana frec yaa. Namba na satilati na maranyingi wanayo. Tumia haya madish huwa ni. Wazee ukiwaanga wanunue ving,muzi wamekuwa. Wagumu
 
Ni kweli.ila yana Mambo mengi kama analog.
Haya madogo ukiset tu frequency channel zote unapata
Mkuu ungekuwa na utaalam na mambo haya ungekubaliana na mimi kwa haraka,pia fahamu kwamba,dish kubwa ni mult purpose haswa la bati
 
Wakuu Mimi fundi madish sasa apa kwa jirani ana dish lake haya ya zamani madish makubwa nlikuwa naomba msaada.kwa anayefahamu frec za itv maana naangaika signal. Sipati kuna watu wameniambia wamebadilisha frec
Frec = Frequency
Mafidh= Madish

Kwa msaada tu nenda settings>language & input> zima text prediction, spell checker, auto-fill, na takataka zote utazokuta zipo on zima zote!

Kuna siku hiyo tecno itakuja kumtukana baba mkwe wako bila kujua😂
 
Mkuu ungekuwa na utaalam na mambo haya ungekubaliana na mimi kwa haraka,pia fahamu kwamba,dish kubwa ni mult purpose haswa la bati
Kwa kuwa unaweza kukaangia dagaa mchele au😂
 
Dh

Shurkan mkuu ntajaribu nikishindwa naacha waje mafundi wengine.tatizo la huku mafundi hatupendani mtu akijua ataki kumweleza mwenzake
Kumbuka using'ang'anie muelekeo wa zamani,wamehama Sat.
 
Mafundi dish wengi FTA hawayataki.
Kutunga kwenyewe mpaka uwe na satfinder.
Lakini Yale madogo bila satfinder unaweza ukafunga
Mkuu ungekuwa na utaalam na mambo haya ungekubaliana na mimi kwa haraka,pia fahamu kwamba,dish kubwa ni mult purpose haswa la bati
 
Back
Top Bottom