Msaada wasomi

daudi_8

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
215
Reaction score
27
Habari wana JF,
Je, mtu mwenye ordinary diploma ya education, ana uwezo wa kusomea kitu chochote?? Na kwa level ipi? Punde amalizapo kozi hiyo ya ualimu..

Nawasilisha wakuu!
 
Hbr wana Jf,
je,mtu mwenye ordinary diploma ya education,anauwezo wa kusomea kitu chochote??na kwa level ipi?punde amalizapo kozi hiyo ya ualimu..
nawasilisha wakuu!

Diploma ya Education usomee chochote mh! mfano Una Diploma ya Education una masomo ya kufundishia history na Kiswahili then ukitoka hapo unaenda kusoma Bs. in Telecommunication Engineering


Pamoja na Mchanga wa Ngorongoro ku move wenyewe hivyo kuwania kua katika Maajabu 8 ya dunia Elimu bado haijafika kwenye hayo maajabu.


Kimsingi ukisoma Diploma ukimaliza na ukafaulu unaenda kusoma Degree ya kile ambacho kinafanana au kinakaribiana na kile ulichokisoma wakati wa Diploma hausomei chochote tuu! Mkwe wangu!
 

thanks a lot!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…