Msaada Wataalam.Kidole kinaoza jamani

tizo1

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
856
Reaction score
145
Tarehe 25 dec 2014 kidole kilanza kuwasha na kujikuna.kuanzia siku iliyofuata kilianza kuwasha na kuuma sana mpaka leo rarehe 2 jan kilipooasuka nikiwa nimelala.

Nini dawa sahihi? !hospittali wamenipa antibiotic na panadol, naombeni msaada wa tiba bora jamani
NAAMBATANISHA PICHA PIA
 

Attachments

  • 1420316329481.jpg
    27.4 KB · Views: 302
Pole sana ndugu, imenishtua sana, huo sio ugonjwa mdogo acha kupuuzia kwa kumeza panadol, nenda hospitali kubwa kwani kansa inaweza kupitia kwa njia hyo, nenda hosptali kubwa ujue undani wa tatizo, please epuka madawa ya kienyeji kwa sasa lkte ktk matibabu ya vipimo vikubwa zaidi, pia kama unamwamwini Yesu kristo jaribu kesho kushriki ibada ya Tb Joshua kwenye tv yako hakika ukishriki ktk roho na kweli utapona na kubaki kushuhudia uweza wa Mungu! Pole ndugu!
 

Asante mkuu
 
Pole sana!nend zahanati wakusafishe kila siku na uendelee na antibiotics utapona.
by the way ulifanya nini ukapata kidonda hiki?
 
Pole sana!nend zahanati wakusafishe kila siku na uendelee na antibiotics utapona.
by the way ulifanya nini ukapata kidonda hiki?

Kilianza kuwasha tu......kama utani vile mwisho maumivu yakaanza
 
Pole sana. Ila naona madhara yamekuja haraka sana. Sasa cha kufanya wewe nenda ocean road cancer institute mapema sana. Ukajiridhishe kuwa sio kansa. Maana kansa ndio kitu kibaya zaidi.


btw , unawezaje kutuma message na kidole hicho?
 
pole xana aiseee!!!! nenda hosptli kubwa wakucheki cancer bhana!!!!!
 
Da nimeogopa sana, nenda hospital ASAP, tena cancer institute Kule ocean road.ikiwezekana Leo .
 
Mwenyezi Mungu akupe tahafifi na akuponye haraka, Wahi Hospital kama ulivyoshauriwa. tizo1
 
Last edited by a moderator:
Wahi hospital ufanye check up vizur mkuu pole sana mungu akutangulie
 
pole sana mkuu kwa hapa huwezi ukapata tiba ila utapata ushauri
ushauri wangu
1.Nenda hospitali yenye vipimo vikubwa ukafanye kipimo cha culturing ili kujua kama ni bacteria infection....maana kuna uwezekano wa kuwa finger bacteria infection
2.hakikisha unahuzulia zahanati yoyote kwa ajili ya kusafishwa hicho kidonda kwa sterile water kama normal saline na povidone
3.pia fuata ushauri wa wadau hapo juu kwenda kufanya uchunguzi wa kansa
4.pia unapofanya culture inasaidia kujua bacteria hao wako sensible kwa antibiotic gani......namaanisha utafanya culture sensitivity
5.zingatia huo ushauri lasivyo utapoteza kidole au unaweza kusababisha kama ni kansa isambae
6.pima magonjwa yanayoweza kufanya kinga kupungua kama KISUKALI NA HIV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…