Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Naomba kusaidiwa
Nimejenga water tower yenye height ya mita 3.5 nimeweka tank la lita 5000 inlet line size yake ni robo tatu na outlet line size yake ni inchi moja na nusu, water tap ni 4 za (2 za nusu inchi na 2 za robo tatu) lakini changamoto ni kiasi cha maji yanayotoka kwenye water tap hizo ni kidogo sana hata kama nikifungulia tap moja tu yanachuruzika, fundi amehangaika ameshindwa.
Shida inaweza kuwa wapi
Nimejenga water tower yenye height ya mita 3.5 nimeweka tank la lita 5000 inlet line size yake ni robo tatu na outlet line size yake ni inchi moja na nusu, water tap ni 4 za (2 za nusu inchi na 2 za robo tatu) lakini changamoto ni kiasi cha maji yanayotoka kwenye water tap hizo ni kidogo sana hata kama nikifungulia tap moja tu yanachuruzika, fundi amehangaika ameshindwa.
Shida inaweza kuwa wapi