Msaada wataalamu wa Afya ya Sauti

Msaada wataalamu wa Afya ya Sauti

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
1,535
Reaction score
5,332
Habari za kazi wataalamu wa Afya.

Nina tatizo la sauti yangu kutoka kwa kukwaruza.

Nimetumia dawa lkn sauti yangu halisi imekataa kurudi, naelekea kumaliza mwaka Sasa.

Naomba msaada kwa anaejua mahala sahihi ambapo naweza kupata matibabu.ama kama mtu anaweza kunifanyia matibabu nitashukuru.

Hali hii inanitisha sana.

Natanguliza shukurani.
 
Habari za kazi wataalamu wa Afya.

Nina tatizo la sauti yangu kutoka kwa kukwaruza.

Nimetumia dawa lkn sauti yangu halisi imekataa kurudi, naelekea kumaliza mwaka Sasa.

Naomba msaada kwa anaejua mahala sahihi ambapo naweza kupata matibabu.ama kama mtu anaweza kunifanyia matibabu nitashukuru.

Hali hii inanitisha sana.

Natanguliza shukurani.
Iwapo unavuta sigara/shisha/Kiko na vyote vinavyofanana na hivyo acha mara moja
Pia usitumie vinywaji baridi yaani refrigerated kama maji, soda, beer, ice cream nk tumia vikiwa at room temperature
 
Iwapo unavuta sigara/shisha/Kiko na vyote vinavyofanana na hivyo acha mara moja
Pia usitumie vinywaji baridi yaani refrigerated kama maji, soda, beer, ice cream nk tumia vikiwa at room temperature
Asante,situmii sigata ,shisha ,Kiko na vitu kama hivyo,pia nimekua najiepusha na vitu vya baridi bila mpango.
Situmii pombe
 
Back
Top Bottom