Asanteni sana wadau mlionipa ushauri kwa post yangu ya nyuma iliyopita kuhusu kuomba msaada wa gari hii LEGE ulinishauri nashukuru sana,,
katika kujaribu kila hatua niliamua kupeleka kupima kwa diagnoss computer lkn nadhani fundi aliepima sio mzoefu sana maana kuna code ilitoa lkn alishindwa kutoa maelekezo nikumuelewa,zaidi nilimuona kama mbabaishaji tu.
baada yakuchomeka mashine yake ilileta code kama mbili hivi japo zilijirudia rudia,
code ya kwanza ilisema P-1603 na code ya pili ni P-1605 lakini kuna neno ilileta ENGINE STALL,
Kwa wataalam naomba mnitambulie hii code inamaanisha nini,gari ni toyota RACTIS ya mwaka 2005,tatizo lake ni kua nikiendesha km chache inajizima ikiwa kwenye mwendo,lkn nikikaa kama dk2 nikiwasha inawaka naendelea na safari,nimejaribu kuangalia kama inachemsha haichemshi,lkn ikifika usiku natembea bila shida na haiwezi kuzima
katika kujaribu kila hatua niliamua kupeleka kupima kwa diagnoss computer lkn nadhani fundi aliepima sio mzoefu sana maana kuna code ilitoa lkn alishindwa kutoa maelekezo nikumuelewa,zaidi nilimuona kama mbabaishaji tu.
baada yakuchomeka mashine yake ilileta code kama mbili hivi japo zilijirudia rudia,
code ya kwanza ilisema P-1603 na code ya pili ni P-1605 lakini kuna neno ilileta ENGINE STALL,
Kwa wataalam naomba mnitambulie hii code inamaanisha nini,gari ni toyota RACTIS ya mwaka 2005,tatizo lake ni kua nikiendesha km chache inajizima ikiwa kwenye mwendo,lkn nikikaa kama dk2 nikiwasha inawaka naendelea na safari,nimejaribu kuangalia kama inachemsha haichemshi,lkn ikifika usiku natembea bila shida na haiwezi kuzima