Msaada wataalamu wa skimming

Msaada wataalamu wa skimming

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
1,198
Reaction score
2,562
Nikiwa naeleke kufanya maandalizi kwa ajili ya hii kazi wajuzi naomba msaada wenu....
Fundi wa kwanza: Ameshauri itumike white cement then binder alafu rangi na kanipa makadirio yake

Fundi wa pili: Yeye kashauri itumike pva then binder alafu rangi.....

Fundi wa tatu: Kashauri itumie wall purity ndani the nje itumie white cement..

Fundi wa pili kanishawishi sanaa na nkamuelewa JE pva ikoje na ubora wake ukoje kwa kulinganisha na options zilizopo???
 
Sometimes watu wana complicate vitu bure tu na kukuongezea gharama. Kwa uzoefu wangu ndani nimetumia gypsum powder for skimming halafu rangi nyeupe mwisho rangi iliotakiwa (silk). Nje nimetumia white cement for skimming then rangi nyeupe halafu rangi iliotakiwa(weather guard) na nyumba ya kawaida na zile hidden roof kuta zinapigwa na mvua hasa na rangi inakaa hadi naamua kubadili muonekano.
 
Mimi sio fundi Ila wakati najenga fundi wangu alinielewesha kidogo.
Iko hivi:-

Tukianza na generation za hizo sckimming material ilianza
Gypsum Powder
White Cement
Wall putty

Mafundi wengi hawako sana familia na wall putty hivyo kama ujuavyo mtu hupendelea kile akijuacho.

Faida kubwa ya wall putty ina antifungal ndani yake kudhibiti fungus za ukutani lakini pia unaweka hiyo BINDER kuifanya rangi yako isibanduke hasa maeneo yenye unyevu.

Hivyo basi ushauri ambao alinipa nitumie white cement ndani sababu kutakuwa na unyevu kidogo au usiwepo kabisa na kwa sababu white cement inacover square mita nyingi kulinganisha na wall putty.

Nje alinishauri nitumie wall putty ili kuhimili unyevu wa nje na fungus za ukutani. Kwa hiyo kwa generation wall putty ni toleo za kisasa zaidi tukiamini zitakuwa zimecover changamoto za matoleo ya nyuma.

Uamuzi ni wako kulingana na eneo lako na hali ya mfuko wako. Hongera kwa hatua ya finishing nikikumbuka ilivyonipelekesha sina hamu nayo.
 
Mimi sio fundi Ila wakati najenga fundi wangu alinielewesha kidogo.
Iko hivi:-

Tukianza na generation za hizo sckimming material ilianza
Gypsum Powder
White Cement
Wall putty

Mafundi wengi hawako sana familia na wall putty hivyo kama ujuavyo mtu hupendelea kile akijuacho.

Faida kubwa ya wall putty ina antifungal ndani yake kudhibiti fungus za ukutani lakini pia unaweka hiyo BINDER kuifanya rangi yako isibanduke hasa maeneo yenye unyevu.

Hivyo basi ushauri ambao alinipa nitumie white cement ndani sababu kutakuwa na unyevu kidogo au usiwepo kabisa na kwa sababu white cement inacover square mita nyingi kulinganisha na wall putty.

Nje alinishauri nitumie wall putty ili kuhimili unyevu wa nje na fungus za ukutani. Kwa hiyo kwa generation wall putty ni toleo za kisasa zaidi tukiamini zitakuwa zimecover changamoto za matoleo ya nyuma.

Uamuzi ni wako kulingana na eneo lako na hali ya mfuko wako. Hongera kwa hatua ya finishing nikikumbuka ilivyonipelekesha sina hamu nayo.
ahsante sana kwa ushauriiii
 
Me kwa ndani nimetumia gypsum powder (BBG) then wakapiga plema, nje nimetumia white skim then nikapiga sado bainda. Na mpaka leo hakuna shida yyt
 
Sometimes watu wana complicate vitu bure tu na kukuongezea gharama. Kwa uzoefu wangu ndani nimetumia gypsum powder for skimming halafu rangi nyeupe mwisho rangi iliotakiwa (silk). Nje nimetumia white cement for skimming then rangi nyeupe halafu rangi iliotakiwa(weather guard) na nyumba ya kawaida na zile hidden roof kuta zinapigwa na mvua hasa na rangi inakaa hadi naamua kubadili muonekano.
Hii sawa ila hapo kwenye kufanya skimming alafu rangi nyeupe kisha rangi ya silki, vipi ukigusa ukuta au kuegemea ukuta hutoki na rangi kidogo yaani ukigusa hakuna asilimia ndogo ya rangi inabaki kwenye mwili? Mie kama wewe ila baada ya skimming tukaweka binder (prima) kisha rangi ya silki (binder / prima ukiweka baada ya skimming inaifanya gypsum powder kushikana na hata ukigusa hutoki na powder nyeupe na inapunguza matumizi makubwa ya rangi ila kwenye gypsum board baada ya skimming ikapigwa rangi nyeupe)
 
Hii sawa ila hapo kwenye kufanya skimming alafu rangi nyeupe kisha rangi ya silki, vipi ukigusa ukuta au kuegemea ukuta hutoki na rangi kidogo yaani ukigusa hakuna asilimia ndogo ya rangi inabaki kwenye mwili? Mie kama wewe ila baada ya skimming tukaweka binder (prima) kisha rangi ya silki (binder / prima ukiweka baada ya skimming inaifanya gypsum powder kushikana na hata ukigusa hutoki na powder nyeupe na inapunguza matumizi makubwa ya rangi ila kwenye gypsum board baada ya skimming ikapigwa rangi nyeupe)
Hapana hamna rangi kubanduka.
 
Mimi sio fundi Ila wakati najenga fundi wangu alinielewesha kidogo.
Iko hivi:-

Tukianza na generation za hizo sckimming material ilianza
Gypsum Powder
White Cement
Wall putty

Mafundi wengi hawako sana familia na wall putty hivyo kama ujuavyo mtu hupendelea kile akijuacho.

Faida kubwa ya wall putty ina antifungal ndani yake kudhibiti fungus za ukutani lakini pia unaweka hiyo BINDER kuifanya rangi yako isibanduke hasa maeneo yenye unyevu.

Hivyo basi ushauri ambao alinipa nitumie white cement ndani sababu kutakuwa na unyevu kidogo au usiwepo kabisa na kwa sababu white cement inacover square mita nyingi kulinganisha na wall putty.

Nje alinishauri nitumie wall putty ili kuhimili unyevu wa nje na fungus za ukutani. Kwa hiyo kwa generation wall putty ni toleo za kisasa zaidi tukiamini zitakuwa zimecover changamoto za matoleo ya nyuma.

Uamuzi ni wako kulingana na eneo lako na hali ya mfuko wako. Hongera kwa hatua ya finishing nikikumbuka ilivyonipelekesha sina hamu nayo.
Wewe ndio umetoa maelezo ya kitalaam. Mafundi wengi hawazijui PGO zao
 
PVA ni.gund moto inaskimiwa badala ya kutumia white cement ni gund.inachemshwa kwenye pipa then ikipoa unachanganya na cement ndo unaanza na skiming ni kaz hatar maana huo mchanganyiko unachemical zenye nguvu msasa wake ni noma lakin pia.kuna PVA roof paint yan rang ya bat karibu kwa huduma 0757735884
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tumia pva maana unachanganya na cement kwaiyo mafangasi utayasikia maana
 
Tumia pva maana unachanganya na cement kwaiyo mafangasi utayasikia maana
Mkuu, nisaidie gharama ya ufundi ya Kuskim chumba Cha futi 12 kwa 12 juu na ukutani, kwa uzoefu wako.
 
Kwanza Uvimo Civil Group tunakupongeza kwa hatua kubwa.

Kuna mambo ya kuzingatia ili kupata hitaji la nyumba zetu.

1-Ubora/mwonekano
Hii yaweza fanikishwa au felishwa na bosi au gundi

2-Gharama zisizo za lazima
Ujuzi haba wa funfi au Enginia msimamizi au maamzi ya bosi.

3-Uhai wa nyumba zetu.
Hii swala la kitaalam, lina mhusu fundi

Kwa kuzingatia utangulizi hapo juu,
Basi, yeyote asiye zingatia mambo hayo lazima ujikute kwenye madhara moja wapo tajwa Hapo juu

Fanya kazi na
Uvimo Civil Group

Upate unacho stahili.
WhatsApp - 0753927572
unajua ili nifanye kazi na wewe inahitaji kujiridhisha kunambia tu ni nfanye kazi na nyie haitoshi kunishawishi jibu kilichoulizwa hapa toa ufafanuzi wa kitaalamu kushawishi mtu mkuu
 
Back
Top Bottom