Msaada watanashati; Nina kero moja tu ya nywele za kwapani

Msaada watanashati; Nina kero moja tu ya nywele za kwapani

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
674
Jamani katika vitu vinavyonikela sana ni jinsi ya kutoa nywele za makwapani yaani ni shiidaaa kuna kitu kingine nje ya mkasi ama wembe kuondoa nywele za makwapani? kutumia wembe ni hatari maaana ukitumia ni lazima ujikatekate hali kadhalika na mkasi je kuna kitu chochote mbadala wa mkasi na wembe karibuni wadau
 
Kuna dawa flani sijui inaitwa je... Ukienda saloon unaipata ipo kama unga.. Una mix na maji then unajipaka
 
Madawa noma yatakufanya uoze kwapa mimi naona ni bora utafute mashine binafsi ya kunyoa inayotumia umeme uwe unaitumia kunyoa sehemu zako za siri.

-Ndumilakuwili-
Yap hii nzuri mno yaani kwapani pamoja na sirini inanyoa fresh na unatumia dakika chache tu
 
Mimi hutumia mashine ya Andi's kunyolea kwapa, nenda dukani kanunu mkuu kunyolea mashine hautajuta
 
Fanya waxing...ni the best tho inauma kama hujazoea,ila ni nzuri sana na nywele zinachelewa kuota
 
Kuna dawa flani sijui inaitwa je... Ukienda saloon unaipata ipo kama unga.. Una mix na maji then unajipaka
Achana na madawa tumia mashine ya kawaida ya kunyolea.
 
sawa sawa kijana... naomba maelezo kidogo .... veet ni sabuni ama ni mafuta ama ni poder
ni kama cream flani ipo ktk tube sema sasa ukisoma maelezo kwa makini ya veet wanasema sio ya kupaka sehem nyeti wala under arm zipo za kutumia maeneo yote lakini kama ngozi yako haiendani nayo inakuharibu.
 
Kuna rafiki yangu hajawahi ota hayo manywele mpaka sasa ana watoto,,, yani hana kitu chini na makwapani...natamani hana kashkash za kushave
 
Back
Top Bottom