Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Weka pichaTumia Veet
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka pichaTumia Veet
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mkuu nakushauri zisuse izo nywele hakika zitajikuta zinaacha kuota kunako kwapaJamani katika vitu vinavyonikela sana ni jinsi ya kutoa nywele za makwapani yaani ni shiidaaa kuna kitu kingine nje ya mkasi ama wembe kuondoa nywele za makwapani? kutumia wembe ni hatari maaana ukitumia ni lazima ujikatekate hali kadhalika na mkasi je kuna kitu chochote mbadala wa mkasi na wembe karibuni wadau
aiseee....picha tafdhali maana ni maajabu ya DuniaKuna rafiki yangu hajawahi ota hayo manywele mpaka sasa ana watoto,,, yani hana kitu chini na makwapani...natamani hana kashkash za kushave
LolWeka picha
Mmmh.... howMkuu nakushauri zisuse izo nywele hakika zitajikuta zinaacha kuota kunako kwapa
Mmmh.... how
Tena hapo Bic ndio nzuri hizi gillete naona kama wanachakachua siku hizi.madawa si mazuri
mimi namshaul atumie mashine za kawaida
kwa mfano mm namshauri atumie hizi
Gillete 2![]()
au BIC SENSITIVE
gharama nafuu ubora wa juu![]()
si kwa kwapani ama Sirini
then amalizie na AFTER SHAVE yaan safi burudani kabisa hajuna kujikatakata wala vipere
Halafu baada ya kuacha anasokota rasta au anasuka?? hahaha sema nini?? ushauri wako nimeupenda.ajifanye hazioni zikikua zitafikia stage zitaacha kukua tena
Bic ni bomba n makali yake yanakaa muda mrefumadawa si mazuri
mimi namshaul atumie mashine za kawaida
kwa mfano mm namshauri atumie hizi
Gillete 2![]()
au BIC SENSITIVE
gharama nafuu ubora wa juu![]()
si kwa kwapani ama Sirini
then amalizie na AFTER SHAVE yaan safi burudani kabisa hajuna kujikatakata wala vipere
BIC NI NZURI ZAIDI MAKALI MIEZI 9 NA KUENDELEABic ni bomba n makali yake yanakaa muda mrefu
UTAOZA KWAYANGA (KWAPAN)YAKO BUREE TUMIA ANALOJIA(WEMBE) MKUUKuna poda flani hivi cjui inaitwaje na hata cjui inapopatikana.