Msaada watanashati; Nina kero moja tu ya nywele za kwapani

Msaada watanashati; Nina kero moja tu ya nywele za kwapani

Jamani katika vitu vinavyonikela sana ni jinsi ya kutoa nywele za makwapani yaani ni shiidaaa kuna kitu kingine nje ya mkasi ama wembe kuondoa nywele za makwapani? kutumia wembe ni hatari maaana ukitumia ni lazima ujikatekate hali kadhalika na mkasi je kuna kitu chochote mbadala wa mkasi na wembe karibuni wadau
Mkuu nakushauri zisuse izo nywele hakika zitajikuta zinaacha kuota kunako kwapa
 
Kuna rafiki yangu hajawahi ota hayo manywele mpaka sasa ana watoto,,, yani hana kitu chini na makwapani...natamani hana kashkash za kushave
aiseee....picha tafdhali maana ni maajabu ya Dunia
 
madawa si mazuri
mimi namshaul atumie mashine za kawaida
kwa mfano mm namshauri atumie hizi
Gillete 2
ae4a24299227eb05322b6a19c0d7e967.jpg


au BIC SENSITIVE
5ddc82854136e3c15bf58547f088ad44.jpg
gharama nafuu ubora wa juu

si kwa kwapani ama Sirini
then amalizie na AFTER SHAVE yaan safi burudani kabisa hajuna kujikatakata wala vipere
 
Mkuu tumia machine,haya ma veer,powder ni unawashwa balaa
 
madawa si mazuri
mimi namshaul atumie mashine za kawaida
kwa mfano mm namshauri atumie hizi
Gillete 2
ae4a24299227eb05322b6a19c0d7e967.jpg


au BIC SENSITIVE
5ddc82854136e3c15bf58547f088ad44.jpg
gharama nafuu ubora wa juu

si kwa kwapani ama Sirini
then amalizie na AFTER SHAVE yaan safi burudani kabisa hajuna kujikatakata wala vipere
Tena hapo Bic ndio nzuri hizi gillete naona kama wanachakachua siku hizi.
 
Kuna poda flani hivi cjui inaitwaje na hata cjui inapopatikana.
 
madawa si mazuri
mimi namshaul atumie mashine za kawaida
kwa mfano mm namshauri atumie hizi
Gillete 2
ae4a24299227eb05322b6a19c0d7e967.jpg


au BIC SENSITIVE
5ddc82854136e3c15bf58547f088ad44.jpg
gharama nafuu ubora wa juu

si kwa kwapani ama Sirini
then amalizie na AFTER SHAVE yaan safi burudani kabisa hajuna kujikatakata wala vipere
Bic ni bomba n makali yake yanakaa muda mrefu
 
Back
Top Bottom