VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 674
sawa sawa kijana... naomba maelezo kidogo .... veet ni sabuni ama ni mafuta ama ni poderTumia Veet
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Yap hii nzuri mno yaani kwapani pamoja na sirini inanyoa fresh na unatumia dakika chache tuMadawa noma yatakufanya uoze kwapa mimi naona ni bora utafute mashine binafsi ya kunyoa inayotumia umeme uwe unaitumia kunyoa sehemu zako za siri.
-Ndumilakuwili-
[emoji106]Yap hii nzuri mno yaani kwapani pamoja na sirini inanyoa fresh na unatumia dakika chache tu
Extactly.... You have written what I want to write.....
thank you.... itakuwa ni magic kama sikoseiKuna dawa flani sijui inaitwa je... Ukienda saloon unaipata ipo kama unga.. Una mix na maji then unajipaka
thank you.... itakuwa ni magic kama sikoseiKuna dawa flani sijui inaitwa je... Ukienda saloon unaipata ipo kama unga.. Una mix na maji then unajipaka
thank you so muchExtactly.... You have written what I want to write.....
hopefully nitaitafuta.. asante sanaMimi hutumia mashine ya Andi's kunyolea kwapa, nenda dukani kanunu mkuu kunyolea mashine hautajuta
wanauzaje mdau...Mimi hutumia mashine ya Andi's kunyolea kwapa, nenda dukani kanunu mkuu kunyolea mashine hautajuta
Achana na madawa tumia mashine ya kawaida ya kunyolea.Kuna dawa flani sijui inaitwa je... Ukienda saloon unaipata ipo kama unga.. Una mix na maji then unajipaka
ni kama cream flani ipo ktk tube sema sasa ukisoma maelezo kwa makini ya veet wanasema sio ya kupaka sehem nyeti wala under arm zipo za kutumia maeneo yote lakini kama ngozi yako haiendani nayo inakuharibu.sawa sawa kijana... naomba maelezo kidogo .... veet ni sabuni ama ni mafuta ama ni poder