Msaada-Watoto wetu(ndugu)wametiana mimba

ndandambuli

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
948
Reaction score
641
Ni watoto wa ndugu,baba zao wamezaliwa baba na mama mmoja,walikuwa wanafanya yao yakatokea hayo yaliyotokea.

Tunaambiwa ndugu wakioana kuna uwezekano mkubwa wakazaa mtoto ambaye ni taahira,ili kuepukana na hilo je kuna dawa za kitaalam za kuweza kuzuia hilo lisitokee au wawe wanamuomba Mungu tu?
 
Unamaanisha ni watoto wa Baba mkubwa na Mdogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonyesha huwa mnawabania sana wasitoke nje ..Geti kali ...matokeo ndo hayo ...Ila vumilieni tu
 
iman potofu kuzaliwa taahira mmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wazazi wanawafungia watoto wasitoke. Wanawazuia kutembelwa na marafiki au jirani, hayo ndo matokeo. Hata mimi nina mifano miwili ingawa hawa ni binamu siyo tumbo moja. Kufuga watoto kama nguruwe, kunawafanya wapandane kama nguruwe.
 
Leeni mimba msubiri mjukuu hakuna namna nyingine
 
Ukisoma Biblia katiba cha mwanzo tunaambiwa Adam alizaa watoto wawili tu wa tena wa kiume, ndo habali zao zilizoandikwa, Kaini na Habili, na Habili aliuliwa na kaka yake Kaini, sasa cha kujihoji ikiwa hao ndo watoto wa Adam pekeee sisi wengine ni watoto wa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…