Msaada wazo la Biashara, mtaji Tsh 50,000/=

Msaada wazo la Biashara, mtaji Tsh 50,000/=

Uza vitua au mikoba ya mtumba unaweza kutembeza pia ukauzia online ,ukatengeneza enga Kisha unaenda kuuza stendi utatumia enga kuweka bidhaa zako mida ya jioni

Unawe kuingia online store mf kikuu,Alibaba ukatazama bidhaa ambazo unaweza kuwagiza Kisha ukauza mtandaoni Instagram , Facebook kwa pesa yako Kuna bidhaa unaweza kupata 10 na ukiziuza kwa elfu 10 kila moja utapata laki
FB_IMG_1646551195429.jpg
View attachment 2142442
 
Kama kichwa cha habari hapo juu naomba msaada.

Nawazo la biashara nina mtaji wa 50,000.
Kama upo mikoa yenye watu wengi
Nenda kwa wafugaji wa broiler, nunua kuku 3 kwa elf 21 yaan buku 7 mmoja, then tafta kwenye makutano ya watu wengi weka meza na karai wakaange ukiwa umekatakata vipande vya kuanzia buku mpk elf mbili na miatano,

Baada ya mwezi njoo utoe mrejesho hapa
 
Biashara ya 50,000 hamna mdogo wangu sema nataka kuzungusha hela Nina elfu 50 nifanye Nini?.

Kwa ushauri, nunua viatu vya mtumba tembeza mtaani.
Kuzungusha hela ndio biashara. Unaiingiza pesa sehemu bila kujali kiasi inarudi na faida au hasara.
 
Uza vitua au mikoba ya mtumba unaweza kutembeza pia ukauzia online ,ukatengeneza enga Kisha unaenda kuuza stendi utatumia enga kuweka bidhaa zako mida ya jioni

Unawe kuingia online store mf kikuu,Alibaba ukatazama bidhaa ambazo unaweza kuwagiza Kisha ukauza mtandaoni Instagram , Facebook kwa pesa yako Kuna bidhaa unaweza kupata 10 na ukiziuza kwa elfu 10 kila moja utapata laki View attachment 2142443View attachment 2142442
Nifanyie mchakato maana kuagiza napo issue
 
Back
Top Bottom